MwanzoAUD / AOA • Sarafu
add
AUD / AOA
Bei iliyotangulia
571.75
Habari za soko
Kuhusu Kwanza ya Angola
Kwanza ni pesa inayotumika kwa malipo halali katika nchi ya Angola.
Wakati wa uhuru Angola ilirithi pesa ya escudo kutoka Ureno. Mwaka 1977 Kwanza yenye Lwei 100 imeingizwa nchini kama pesa ya kwanza ya kitaifa. Kutokana na kushuka kwa thamani ya fedha mara kwa mara pesa ya Kwanza imebadilishwa mara nne tangu 1977:
1977 Kwanza
1977 Kwanza Novo
1995 Kwanza Reajustado
1999 Kwanza
Sarafu za centavos 10 na 50 hazipatikani kwani hazinunui kitu tena. Wikipedia