MwanzoCHF / TZS • Sarafu
add
CHF / TZS
Bei iliyotangulia
3,054.73
Habari za soko
Kuhusu Shilingi ya Tanzania
Shilingi ya Tanzania ni fedha rasmi ya Tanzania. Imegawanyika katika senti 100.
Shilingi ya Tanzania ilishika nafasi ya East African shilling tarehe 14 Juni 1966 at par.
Kabla yake katika maeneo ya Tanzania ya sasa ziliwahi kutumika East African florin, East African rupee, Zanzibari rupee, Zanzibari riyal na German East African rupie.
Shilingi 100 zinaandikwa "100/=" au "100/-". Senti 50 zinaandikwa =/50 au -/50. Wikipedia