MwanzoEUR / XOF • Sarafu
add
EUR / XOF
Bei iliyotangulia
657.24
Habari za soko
Kuhusu Yuro
Euro ni sarafu ya pamoja katika baadhi ya nchi za Ulaya. Wakazi wake 350,000,000 wanatumia kwa kawaida pesa hiyo. Watu wengine 210,000,000 wanatumia pesa zilizoungwa na euro, hasa barani Afrika.
Tangu mwaka 2002 nchi 13 za EU zilifuta sarafu ya kitaifa ili kutumia Euro tu. Siku hizi ni 20.
Euro moja imegawanyika katika senti 100.
Kuna benknoti za € 5, € 10, € 20, € 50, € 100, € 200, € 500.
Kuna sarafu za metali 8 za € 0,01, € 0,02, € 0,05, € 0,10, € 0,20, € 0,50, € 1, € 2.
Pesa ya karatasi inatolewa na benki kuu ya Ulaya na ni sawa kote.
Sarafu zinatolewa na nchi wanachama na zinatofautiana upande mmoja, lakini sarafu zote hutumika kote. WikipediaKuhusu Faranga ya Afrika Magharibi CFA
The West African CFA franc is the currency used by eight independent states in West Africa which make up the West African Economic and Monetary Union: Benin, Burkina Faso, Côte d'Ivoire, Guinea-Bissau, Mali, Niger, Senegal and Togo. These eight countries had a combined population of 105.7 million people in 2014, and a combined GDP of US$128.6 billion as of 2018.
The initialism CFA stands for Communauté Financière Africaine. The currency is issued by the Central Bank of West African States, located in Dakar, Senegal, for the members of the UEMOA. The franc is nominally subdivided into 100 centimes but no coins or banknotes denominated in centimes have ever been issued. The production of CFA franc notes has been carried out at Chamalières by the Bank of France since its creation in 1945.
The Central African CFA franc is of equal value to the West African CFA franc, and is in circulation in several central African states. They are both commonly referred to as the CFA franc.
In December 2019 it was announced that the West African CFA franc would be reformed, which will include renaming it the eco and reducing France's role in the currency. Wikipedia