MwanzoJPY / LSL • Sarafu
add
JPY / LSL
Bei iliyotangulia
0.12
Habari za soko
Kuhusu Yen ya Japani
Yen ni pesa nchini Japani. Alama yake ya kimataifa ni ¥ lakini Japani penyewe huandikwa 円. Yen imekuwa pesa inayotumiwa sana duniani baada ya dolar na euro.
Pesa hii ilianzishwa mwaka 1871 na serikali ya Meiji ikifuata mifano ya pesa za Ulaya. Mwanzoni ililinganishwa na gramu 1.5 za dhahabu.
Thamani ya pesa ilishuka wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia na baada ya vita kiwango chake kwa dollar ya Marekani kiliweka kwa ¥360 kwa US$1. Mwaka 2008 ilikuwa ¥104 kwa US$1.
Tangu kuimarika kwa uchumi wa Japani Yen imekuwa pesa muhimu duniani.
Kuna noti za Yen 1,000, 2,000, 5,000 na 10,000. WikipediaKuhusu Loti ya Lesoto
The Loti is the currency of the Kingdom of Lesotho. It is subdivided into 100 lisente. It is pegged to the South African rand on a 1:1 basis through the Common Monetary Area, and both are accepted as legal tender within Lesotho. The loti was first issued in 1966, albeit as a non-circulating currency. In 1980, Lesotho issued its first coins denominated in both loti and lisente to replace the South African rand, but the rand remains legal tender.
The name derives from the Sesotho loti, "mountain," while sente is from English "cent".
In 1985, the ISO 4217 code was changed from LSM into LSL. Wikipedia