MwanzoJPY / XOF • Sarafu
add
JPY / XOF
Bei iliyotangulia
3.81
Habari za soko
Kuhusu Yen ya Japani
Yen ni pesa nchini Japani. Alama yake ya kimataifa ni ¥ lakini Japani penyewe huandikwa 円. Yen imekuwa pesa inayotumiwa sana duniani baada ya dolar na euro.
Pesa hii ilianzishwa mwaka 1871 na serikali ya Meiji ikifuata mifano ya pesa za Ulaya. Mwanzoni ililinganishwa na gramu 1.5 za dhahabu.
Thamani ya pesa ilishuka wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia na baada ya vita kiwango chake kwa dollar ya Marekani kiliweka kwa ¥360 kwa US$1. Mwaka 2008 ilikuwa ¥104 kwa US$1.
Tangu kuimarika kwa uchumi wa Japani Yen imekuwa pesa muhimu duniani.
Kuna noti za Yen 1,000, 2,000, 5,000 na 10,000. WikipediaKuhusu Faranga ya Afrika Magharibi CFA
The West African CFA franc is the currency used by eight independent states in West Africa which make up the West African Economic and Monetary Union: Benin, Burkina Faso, Côte d'Ivoire, Guinea-Bissau, Mali, Niger, Senegal and Togo. These eight countries had a combined population of 105.7 million people in 2014, and a combined GDP of US$128.6 billion as of 2018.
The initialism CFA stands for Communauté Financière Africaine. The currency is issued by the Central Bank of West African States, located in Dakar, Senegal, for the members of the UEMOA. The franc is nominally subdivided into 100 centimes but no coins or banknotes denominated in centimes have ever been issued. The production of CFA franc notes has been carried out at Chamalières by the Bank of France since its creation in 1945.
The Central African CFA franc is of equal value to the West African CFA franc, and is in circulation in several central African states. They are both commonly referred to as the CFA franc.
In December 2019 it was announced that the West African CFA franc would be reformed, which will include renaming it the eco and reducing France's role in the currency. Wikipedia